- 5th June, 2017.
- THE LOVE OF GOD AND PEOPLE (Mathayo 22:36-40)
- KINGDOM JOBS (Mathayo 9:36-37)
- TIME & BUSINESS COACH
- Title: THE TEAM LEADER
- Mathayo 1:21
Subtitle: LIFE IS A TEAM, Mwanzo 1:26-28, Mwanzo 2:18
Unapoenda kutafuta kazi au ajira utaulizwa kiongozi wako ni
nani? Ama wataendelea kukuukiza nani unamfahamu “who is your referee” ili upate
kazi hii? ni nani anaye kusababishia upate kazi? Kama ni mtu unamtegemea upate
kazi kupitia mtu huyo ujue kazi hiyo ni ya
mda mfupi tu lakini kama ni Yesu mtegemee Yesu; na ukimtegemea Yesu ujue kazi
hiyo ni ya mda mrefu Daniel 11:32 kwa kadri unavyo mfahamu mtu fulani ndivyo
watakavyo kuamini na kukupa kazi hiyo. Wewe kama mkristo kiongozi wako ni nani?
Maisha ni timu-timu hii inaanzia watu wawili kama ilivyo mke
na mume(Mwanzo 2:18), huwezi ukawa mwenyewe kama unataka kufanya biashara au
kazi tambua timu inaanza na watu wawili na kuendelea…jiulize ni nani wewe upo
naye kwenye timu yako? Na ukikutana na timu mbaya au umechagua timu mbaya
itakuharibia maisha yako!
Mdaraja katika Timu,
Kuna madaraja saba katika timu, ili uonekane kiongozi lazima
uanzie kuongoza mahala fulani kwa kupitia hilo utakua katika madaraja haya.
Mdaraja hayo ni;
1 A Home-Class Team, kwa mfano Daudi
2 A School-Class Team, kwa mfano katika Taaluma, michezo n.k
3 A Church-Class Team, jifunze kuwa daraja la kwanza “study always on first class “A”
4 A Street-Class Team, Yesu alikuwa mwalimu Luka 4:18 “Kuna ‘A’ za barabarani na ‘A’ za Shuleni”
5 A World-Class Team, mtu maarufu yeyote yule Duniani alianza chini-Askofu Oyedepo
6 A Heaven-Class Team, Jiambie lazima Mbingu ufike baada ya maisha haya
7 A Jesus-Class Team, Petro alijua kutengeneza daraja lake “his Class”, alijiachia kwa Yesu Mazima kwa maana alikuwa na shauku kubwa ya kumtumikia Yesu Kristo. Yohana 21:15-17, Yesu alimkabidhi Petro majukumu.
Jiulize wewe leo “which one is your class” na umeiweka pamoja
na kuitengenezea wapi? Na ikumbukwe ya kuwa Timu ya Kristo ni Mathayo 6:33.
Katika huduma hii tunawafundisha watu kujitegemea wenyewe siyo kuwafuata fuata
na kuhama hama unapo abudu eti ukitafuta ‘maombi’ au nguvu za Mungu/ishara
kwani maandiko yanasema katika Yeremia 3:15, jitegemee kuwa mfuasi na
mwanafunzi wa Yesu Kristo.
Jifunze na uanze kutoka uliko ili usonge mbele kutoka “class
team” kwenda “Team Leader”, kwa kuwa kwenda kufanya kazi ya Mungu haikuzuii
kufanya Biashara zako zingine kwa mfano Askofu David Oyedepo ana makampuni Zaidi
ya 30 ya kibiashara kama watu wengine wa kawaida. Unapo anza kufanya kazi ya
Mungu kazi hii itakusaidia kupata wateja wengi. Hakuna baishara isiyo hitaji
watu, na watu ndiyo bidhaa ya bure tena ina patikana kila mahali ukianzia
barabarani. Tafadhali kumbuka ya kuwa ili ufalme ukamilike unahitaji watu
hakuna falme bila watu, Yohana 15:16.
HITIMISHO
Zaburi 84:7, 2 Wakorintho 3:18, “From Class Team to Team
Leader”
Usisahau ya kuwa maisha ni Timu na huwezi kukaa mwenyewe
pasipo kuanza na mtu mwingine.
Unaswali/Maoni/Mapendekezo komenti hapo chini au Una
ushuhuda usisite kutuandikia Kupitia hapa au kwa rewiew section ya Facebook (Tazama kwenye ukurasa huu
utaziona nyota hivi, ziweke upendazo baadae andika hapo-Asante.)
No comments:
Post a Comment