SALA YA TOBA
YESU MWANA WA DAUDI…X3
Mimi “Taja Majina yako Mawili”
NAOMBA UNIREHEMU…X3
Unisamehe Makosa Yangu Yote,
Unisamehe Dhambi Zangu Zote,
Unisamehe Maovu Yangu Yote,
Uniponye na Magonjwa Yangu
Yote
Unisafishe Kwa Damu Yako Takatifu,
Kuanzia Leo,
Ninakiri,
Nimekua Kiumbe Kipya,
Ya Kale Yamepita,
Futa Jina Langu,
Katika Kitabu Cha Mauti,
Andika Jina Langu Katika,
Kitabu Cha Uzima,
Asante Mungu,
Kwa Kunipenda,
Asante Yesu Kristo,
Kwa Kuniokoa,
Asante Roho Mtakatifu,
Kwa Kunifundisha,
Asante Malaika Wa Mungu,
Kwa Kunilinda,
Katika Jina la Uweza la
YESU KRISTO wa Nazareti.
*AMEN*

No comments:
Post a Comment